Tuesday, June 7, 2011

makumbusho ya maji maji -songea

 hapo katikati anaonekana Karl Peters ambaye aliingia  
 mikataba ya kilang'ai na machifu.
 zana ambazo zilitumika na mashujaa kwenye vita vya
 majimaji
viti ambavyo vilitumika na chifu wa wayao
makumbusho ya mashujaa walionyongwa na watawala
wa kijerumani.hili ni kaburi ambalo walizikwa watu 66