Monday, April 29, 2013

Bonanza la Burudani na Michezo

Muendesha pikipiki akionesha manjonjo yake ya kuchezea pikipiki kwenye viwanja vya Zimanimoto-Songea.Hii ilikuwa ni kwenye Tamasha la Burudani na Michezo ambalo lilifanyika Jumapili tarehe 28 Aprili,2013.Tamasha hili liliwahusisha wasanii wa filamu na muziki wa ndani na nje ya Songea ambapo kwa wakati tofauti walitoa burudani ambayo iliwafurahisha wakazi wa ndani na nje ya Songea.Tutaendelea kuliona hili Tamasha kila wiki ya mwisho wa mwezi na tunategemea litazidi kuboreshwa chini ya usimamizi wa Equator Night Club ,Radio Jogoo FM na Michango kutoka kwa wadau wote wa michezo,sanaa na burudani.

Friday, April 26, 2013

Pata ramani yako

Mfano wa nyumba kazi iliyofanywa na Royal framing and photo solution chini ya Mkurugenzi Yusuph Kondela Mange. contacts +255782350152

Tupendezeshe Mji wetu

Mfano wa nyumba kazi iliyofanywa na Royal framing and photo solution chini ya Mkurugenzi Yusuph Kondela Mange. contacts +255782350152

Usanifu na Ubunifu wa Majengo

Mfano wa nyumba kazi iliyofanywa na Royal framing and photo solution chini ya Mkurugenzi Yusuph Kondela Mange. contacts +255782350152

Wednesday, April 24, 2013

Majengo Mitumbani

Mtaa wa Kotaz Majengo eneo ambalo ni maarufu kama Majengo mitumbani.Hapa unaweza kujipatia bidhaa mbalimbali za mitumba kama nguo,viatu na mikoba n.k.
Kwa siku ya Jumapili barabara hii hufungwa na kunakuwa na mnada wa bidhaa za chakula kutoka kwa wakulima wadogo wadogo kama,mboga ,nafaka,matunda na viungo.

Monday, April 22, 2013

Muonekano Tofauti..........

 Salmada(Kihongolo Binti Msukule) kwenye uchukuaji wa picha za filamu ya Kihongolo Binti Msukule  huko Mateka,Kisiwani-Songea.

Friday, April 19, 2013

Kazi na Majadiliano....

Mwenyasa Nyasa Boy mtayarishaji wa filamu ya (Kihorongo Binti Msukule) akiwa na Salmada wakijadiliana kwenye tukio katika kuhakikisha tunapata kitu bora

Salmada anakimbiza

Salmada(Kihorongo),Msanii wa filamu ambaye anafanya vizuri kwenye tasnia ya filamu na ameshiriki kwenye filamu kadhaa.Yeye ni mmoja wa washiriki wakuu wa filamu ya Kihorongo Binti Msukule.

KIHORONGO BINTI MSUKULE


Salmada (upande wa kulia) akiwa kwenye tukio la uchukuaji picha za filamu inayoenda kwa jina la Binti Kihongoro Binti Msukule.

Tuesday, April 9, 2013

DANGEROUS CAMP

Filamu ya Dangerous Camp imeanza kusambazwa rasmi na unaweza kuipata  madukani ,pata nakala yako na uburudike,ufurahie na ujifunze kwenye filamu iliyosheheni matukio ya mapigano na mengine mengi ya kuvutia.
Usikose!!!!