Wednesday, May 25, 2011

MAJIMAJI STADIUM-SONGEA

Uwanja huu ndiyo unatumiwa na timu ya       
Majimaji FC ambayo kwa msimu huu imeshuka
Daraja.Pia utatumika kwenye uzinduzi wa      
shughuli ya Mazingira ,Miaka 47 ya Muungano   
 na Miaka 50 ya Uhuru wa Jamhuri ya Muungano
 wa Tanzania                                                 

No comments:

Post a Comment