Saturday, May 28, 2011

MUONEKANA WA LAKE NYASA-LITUHI

Kabla ya lake shore kinachoonekana ni mashamba ya
mpunga.Eneo hili awali watu walikuwa wanakaa        
ya ziwa kabla ya kuhamishwa na mamlaka kutokana  
na mafuriko ya mara kwa mara ambayo yalikuwa       
yanahatarisha usalama wa wakazi na mali zao.            

No comments:

Post a Comment